Wednesday, April 2, 2014

D'BANJ Kulishtaki gazeti la DAILY MAIL kwa kashfa ya kumuita "Womaniser"

Baada ya uvumi kuwa staa wa Naija D'Banj ana mahusiano na muigizaji na Model wa Marekani "Kenya Moore" ambayo habari hiyo iliandikwa na magazeti mbalimbali likiwemo gazeti la uingereza 'Daily Mail'.
 Kwa mijibu wa mtandao wa 360 nobs wa Naija,inadaiwa gazeti hilo liliandika habari hiyo na kumkashifu D'banj kwa kumuita WOMANISER
kitu ambacho hakikumpendeza koko master hivyo ametishia kulishtaki.Womaniser ni mwanaume ambaye anapenda kuwa na wanawake wengi na kua na mahusiano nao ya kimapenzi ya muda mfupi.
         D'banj amesema habari ya yeye na Kenya ni uvumi tu hivyo yupo katika mazungumzo na wanasheria wake kulishtaki gazeti hilo "it is a rumor,the srory has no sbstance i am even about going to sue UK Daily mail for the defamation,i'm discusing with my legal team,they didn't hear from me" alisema D'Banj

No comments:

Post a Comment