Wednesday, April 2, 2014

ALBUM MPYA YA ALIYEKUWA KING WA POP DUNIANI "MICHAEL JAKCSON" KUINGIA SOKONI MAY 2014

Yawezekana habari hii ikawashitua wengi lakini hali ipo hivyo.......Miaka mitano tangu alipofariki mkali wa miondoko ya pop duniani, Michael Jackson, Sony na Epic Records wametangaza plani ya kuachia albamu ya baada ya kifo chake, walioipa jina la "Xcape"
   Mkurugenzi mkuu wa Epic Records amechagua ngoma kumi (10) za Michael Jackson ambazo hazijawahi kutoka na kuziweka katika usikivu wa kisasa na kuongeza production mpya kutoka kwa Timbaland na Rodney Jerkins ambapo album hiyo itaachiwa May 13.....Kaa tayari.

No comments:

Post a Comment