Wednesday, April 2, 2014

PROF.JAY FEAT.DIAMOND-KIPI SIJASIKIA

Mzee wa mitulinga a.k.a the heavy weight mc maarufu kama Prof.Jay amechia ngoma mpya akiwa amemshirikisha mkali wa Bongo Fleva "Sukari Ya Warembo" Diamond Plutnumz ambaye kasimama vizuri kwenye Chorus ya ngoma hiyo, Vimekutana vichwa hatari sana katika ngoma hii inayoitwa "KIPI SIJASIKIA" Sikiliza na Download hapa=>http://www.hulkshare.com/TalentedOne/Prof.jay-feat

No comments:

Post a Comment