BEST INTERNATIONAL ACT AFRICA.Anaigombea hiyo tuzo na Davido wa Nigeria, Mafikizolo wa South Africa, Tiwa Savage wa Nigeria, Toofan na Sarkodie wa Ghana. the OFFICIAL
Friday, May 16, 2014
Mastaa watoa yao ya moyoni ni pamoja na mpenzi wake Diamond… Wema Sepetu baada ya,kuingia TUZO ZA BET Diamond
Ilikua stori kubwa pale Diamond Platnumz alipotangazwa kushiriki
kwenye tuzo za MTV Base (Mama Awards) kikiwa ni kituo kingine kikubwa
cha burudani Afrika.Diamond Platnumz ameingia kwenye stori nyingine kubwa ya
dunia baada ya kuchaguliwa kushiriki kwenye tuzo za Television kubwa ya
Marekani ya BET ambapo yupo kwenye kipengele cha wanaogombea
BEST INTERNATIONAL ACT AFRICA.Anaigombea hiyo tuzo na Davido wa Nigeria, Mafikizolo wa South Africa, Tiwa Savage wa Nigeria, Toofan na Sarkodie wa Ghana. the OFFICIAL#BETAwards #BestIntlActAfrica nominees 2014!….BET kupitia page yao ya twitter waliandika kuthibitisha kuchaguliwa
kwa Diamond na kumpongeza akiwa pia ni msanii pekee wa Afrika Mashariki
kwenye tuzo hizi za mwaka huu.
BEST INTERNATIONAL ACT AFRICA.Anaigombea hiyo tuzo na Davido wa Nigeria, Mafikizolo wa South Africa, Tiwa Savage wa Nigeria, Toofan na Sarkodie wa Ghana. the OFFICIAL
Labels:
TalentedOnes
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment